Colossians 1:19-20

19 aKwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake, 20 bna kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.

Copyright information for SwhKC